و این [استدلال،] حجت ما بود كه به ابراهیم در برابر قومش دادیم. [در دنیا و آخرت، مقام] هر کس را كه بخواهیم به درجاتی بالا مىبریم. [ای پیامبر،] بیتردید، پروردگارت حكیم داناست.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Hoja hiyo ambayo Ibrāhīm, amani imshukiye, aliwahoji nayo watu wake ndiyo hoja yetu tuliyomuongoza nayo mpaka hoja yao ikakatika. Tunamtukuza daraja tunayemtaka, miongoni mwa waja wetu, ulimwenguni na Akhera, Hakika Mola wako ni Mwenye hekima katika kuendesha mambo ya waja Wake, ni Mjuzi kuhusu wao.