و اگر آن [فرستاده] را فرشتهای قرار میدادیم، حتماً وى را به شکل مردى درمیآوردیم [تا بتوانند او را ببینند و سخنانش را بفهمند] و یقیناً آنان را دچار همان اشتباهی میکردیم که قبلاً در آن بودند [زیرا آن فرشته نیز صورت انسان داشت].
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na lau kama tulimfanya mtume aliyeteremshwa kwao ni Malaika, kwani hawakukinai na Muhammad, rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukie, tungalimfanya Malaika huyo kwenye sura za mwanadamu, ili waweze kumsikia na kusema naye. Kwani haimkiniki kwao kumuona Malaika katika sura zake za kimalaika. Na lau Malaika aliwajia kwa sura za mtu, jambo hilo lingaliwafanya wachanganyikiwe kama lilivyowafanya wachanganyikiwe jambo la Muhammad , rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukie.