آنان صدای آن [آتش هولناک و فریادهای دوزخیان] را نمیشنوند و در آنچه میل داشته باشند، جاودانه [در آسایش] هستند.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Hawatasikia sauti ya mroromo wake na kuchomeka kwa miili humo, kwani wameshakaa kwenye nyumba zao huko Peponi na wamekuwa ni wenye kukaa makao ya milele katika starehe na ladha zake zinazotamaniwa na nafsi zao.