[به تمسخر گفتیم:] «فرار نکنید. به سوی خانههایتان و نعمتهایی که در آن آسوده بودید بازگردید؛ باشد که [فقط دربارۀ امور دنیوی] بازخواست شوید».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Wakaitwa wakiwa katika hali hii na kuambiwa, «Msikimbieni, na rudini kwenye ladha zenu na starehe zenu katika ulimwengu wenu wenye kupumbaza na nyumba zenu zilizojengwa, kwani huenda mkaulizwa jambo kuhusu ulimwengu wenu. Na hiyo ni kwa njia ya kuwafanyia shere na ubishi.»