انسان [ذاتاً] عجول آفریده شده است [و همه چیز را پیش از زمان مقررش میخواهد]. به زودی نشانههای [عذابِ] خویش را به شما نشان خواهیم داد؛ پس [نزولِ عذاب را] به شتاب نخواهید.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Ameumbwa mwanadamu akiwa na pupa, anayafanyia haraka mambo na anakuwa na pupa yawe. Na kwa kweli, Makureshi waliifanyia haraka adhabu na wakaona kuwa imechelewa kutokea., Mwenyezi Mungu Akawaonya kwamba Atawaonesha adhabu waliyoifanyia haraka, basi wasimuombe Mwenyezi Mungu awaharakishie na awaletee kwa upesi.