اگر اندکی از عذاب پروردگارت به آنان برسد، قطعاً میگویند: «ای وای بر ما [که] یقیناً ستمکار بودهایم!».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Lau liliwapata makafiri fungu la adhabu ya Mwenyezi Mungu wangalijua mwisho wa kukanusha kwao na wangalilikabili hilo kwa kujiapiza maangamivu kwa sababu ya kujidhulumu kwao nafsi zao kwa kumuabudu kwao asiyekuwa Mwenyezi Mungu.