بلکه [کافران در ستیز با قرآن] گفتند: «[آنچه محمد میگوید] خوابهایی آشفته است؛ بلکه آن را به دروغ [به الله] نسبت میدهد؛ [نه،] بلکه او شاعر است. پس [اگر راست میگوید،] معجزهای برایمان بیاورد، چنان که پیامبران پیشین [نیز با معجزات] فرستاده شدند».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Lakini makafiri wameikanusha Qur’ani: kuna wanaosema kwamba ni mchanganyiko wa ndoto zisizo na ukweli, kuna wanaosema kwamba ni uzushi na urongo na si wahyi na kuna wanaosema kwamba Muhammad ni mshairi na kwamba haya ambayo amekuja nayo ni mashairi, na akiwa anataka tumuamini basi na atuletee miujiza yenye kuonekana kama vile ngamia wa Ṣāliḥ na miujiza ya Mūsā na 'Īsā na yale ambayo walikuja nayo Mitume kabla yake.