ما [دعای] او را اجابت کردیم و رنجی را که به او رسیده بود برطرف ساختیم و خانوادهاش و [نیز تعدادی] همانندشان را به همراه آنان به وی بازگرداندیم [تا] رحمتی از جانب ما و پندی برای عبادتکنندگان باشد.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Hapo tukayakubali maombi yake, tukamuondolea matatizo na tukamrudishia alichokikosa miongoni mwa wake, watoto na mali mara mbili zaidi. Tulimfanyia hayo kwa huruma itokayo kwetu na ili awe ni kiolezo kwa kila mwenye kuvumilia mitihani, mwenye matumaini ya kupata rehema ya Mola wake na mwenye kumuabudu.