ای کسانی که ایمان آوردهاید، [با سرپیچی از اوامر و نَواهی،] به الله و پیامبر خیانت نکنید و [همچنین] در امانتهایتان خیانت نکنید، در حالی که میدانید [این کار، گناه است].
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Enyi mliomuamini Mwenyezi Mungu na Mtume Wake na makazifuata sheria Zake kivitendo, msimhini Mwenyezi Mungu na Mtume Wake kwa kuyaacha Aliyowalazimisha nayo na kuyafanya Aliyowakataza nayo, na wala msifanye kasoro katika yale ambayo Mwenyezi Mungu Aliwaamini nayo, na hali nyinyi mnajua kwamba ni amana inayopasa kutekelezwa.