و[لى ای محمد،] تا تو در میان آنان هستى، الله بر آن نیست كه عذابشان كند و تا زمانی که [از درگاه الهی] آمرزش میطلبند، الله عذابكنندۀ آنان نیست.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na hakuwa Mwenyezi Mungu, Aliyetakata na sifa za upungufu na kutukuka, ni Mwenye kuwaadhibu washirikina hawa na hali wewe, ewe Mtume, uko pamoja nao, na hakuwa Mwenyezi Mungu ni Mwenye kuwaadhibu wao na hali wao wanaomba msamaha wa madhambi yao.