[ای پیامبر، اختیار کاملِ تو بر غنایم، موجب ناخشنودی برخی افراد است؛ درست] همان طور که پروردگارت تو را بهحق از خانهات [در مدینه به سوی میدان بدر] بیرون آورد و قطعاً گروهی از مؤمنان [از جنگیدن] ناخشنود بودند.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na kama mlivyotafautiana juu ya ugawaji wa ngawira, na Mwenyezi Mungu Akauondoa kwenu na Akauweka kwa Mwenyezi Mungu na Mtume Wake, rehema na amani zimshukiye, hivyo ndivyo Mola wako Alivyokuamrisha utoke Madina uende kupambana na msafara wa Makureshi kwa wahyi aliyokujia nao Jibrili, pamoja na kuwa kundi miongoni mwa Waumini walichukia kutoka.