آنان پس از آنکه حقیقت آشکار شد، دربارۀ حق [= جهاد] با تو مجادله میکنند؛ گویى آنان را به سوى مرگ مىرانند در حالی که خود [به مُردنشان] مىنگرند.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Likawa linabishana na wewe, ewe Nabii, kundi hilo la Waumini kuhusu kupigana baada ya kuonekana wazi kwamba hilo ni lenye kutukia, wakawa kama kwamba wao wanaongozwa kupelekwa kwenye kifo na hali wakikitazama waziwazi.