اگر در آنچه [از غنایم و فدیهها که] گرفتید، حکم پیشین الهی وجود نداشت [و آن را برایتان حلال نکرده بود]، قطعاً عذابی بزرگ به شما میرسید.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Lau si Kitabu kutoka kwa Mwenyezi Mungu chenye mapitisho na Makadirio yaliyotangulia ya kuhalalisha ngawira na kukomboa mateka kwa umma huu, basi ingaliwapata adhabu kubwa kwa kuchukuwa kwenu ngawira na fidia kabla ya kuletwa sheria kuhusu mambo mawili hayo.