و کسانی که کفر ورزیدند، [آنان نیز] دوستان یکدیگرند. اگر [شما مؤمنان به این سفارش دربارۀ دوست و دشمن] عمل نکنید، فتنه و فسادی بزرگ در زمین بر پا میگردد.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na wale waliokanusha, ni wenye kusaidiana wao kwa wao. Na iwapo hamtakuwa, enyi Waumini, ni wenye kusaidiana nyinyi kwa nyinyi, basi kutapatikana katika ardhi kufitiniwa Waumini na dini ya Mwenyezi Mungu na uharibifu mkubwa wa kuzuiwa njia ya Mwenyezi Mungu na kutiwa nguvu misingi ya ukafiri.