و قطعاً بارِ سنگین [گناه] خود و بارهای سنگین [گناه پیروانشان] را همراه بارِ سنگین خود به دوش خواهند کشید؛ و یقیناً روز قیامت، در مورد دروغهایی كه مىبافتند بازخواست خواهند شد.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na wataibeba, tena wataibeba, washirikina hawa mizigo ya nafsi zao na madhambi yake na mizigo ya wale waliowapoteza na wakawazuia wasiifuate njia ya Mwenyezi Mungu pamoja na mizigo yao wenyewe, bila ya wale waliowafuata nyinyi kupunguziwa mizigo yao kitu chochote. Na wataulizwa, tena wataulizwa, Siku ya Kiyama, kuhusu yale ya urongo waliokuwa wakiyazua.