[او تعالی] هرکس را بخواهد، عذاب میکند و بر هرکس بخواهد، رحمت میآورد؛ و [همگی] به سویش بازگردانده میشوید.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Anamuadhibu Anayemtaka kati ya viumbe Vyake kwa makosa waliyoyafanya siku za uhai wao, na Anawarehemu Anaowataka miongoni mwao, kati ya wale waliotubia, wakaamini na wakafanya matendo mema. Na Kwake Yeye mtarejeshwa muhesabiwe na mulipwe kwa mliyoyafanya.