و به راستی کسانی را که پیش از آنان بودند نیز آزمودیم و تا الله حتما کسانی را که [دربارۀ ایمانشان] راست گفتهاند جدا سازد و دروغگویان را [نیز] معلوم گردانَد.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Kwa hakika, tuliwajaribu wale waliokuwa kabla yao miongoni mwa ummah mbalimbali na tukawatahini kwa Mitume wetu tuliowatumiliza kwao. Basi hakika ni kwamba Mwenyezi Mungu Atawajua, ujuzi wa kujitokeza nje kwa viumbe, ukweli wa wale wakweli katika Imani yao na urongo wa warongo, ili Alipambanue kila kundi na lingine.