و هنگامی که فرستادگان ما به ابراهیم بشارت [تولد پسرش اسحاق را] دادند، به او گفتند: «ما ساکنان شهر [سَدوم] را قطعاً نابود خواهیم کرد؛ [چرا که] بیتردید، مردم آنجا ستمکارند».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na Malaika walipomjia Ibrāhīm na habari ya furaha itokayo kwa Mwenyezi Mungu ya (kuzaliwa) Isḥāq, na nyuma ya Isḥāq ni mwanawe, Ya’qūb, walisema wale Malaika, «Sisi ni wenye kuwaangamiza watu wa kijiji cha watu wa Lūṭ, nacho ni Sadūm, kwa kuwa watu wake wamekuwa ni wenye kujidhulumu wenyewe kwa kumuasi Mwenyezi Mungu.»