بلکه آن [کتاب، شامل] آیات روشنی است که در سینۀ دانشوران [مؤمن] جای دارد؛ و جز ستمکاران [مشرک، کسی] آیات ما را انکار نمیکند.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Lakini Qur’ani ni aya zilizofunuka zilizo wazi katika kuutolea ushahidi ukweli, wanavyuoni wanaihifadhi. Na hawazikanushi aya zetu na kuzikataa isipokuwa washindani wanaoijua haki na kuiepuka.