آیا برایشان کافی نیست که ما قرآن را بر تو نازل کردیم که [پیوسته] بر آنان خوانده میشود؟ بیگمان، در این [قرآن] برای مردمی که ایمان میآورند، رحمت و پند است.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Kwani haikuwatosha washirikina hawa ili wajue ukweli wako, ewe Mtume, kuwa sisi tumekuteremshia Qur’ani inayosomwa kwao? Hakika katika hii Qur’ani kuna rehema kwa Waumini, ulimwenguni na Akhera, na kuna ukumbusho wa kujikumbusha nao wa mazingatio na mawaidha.