و [مشرکان] به شتاب از تو درخواستِ عذاب میکنند؛ و اگر موعد مقرری [برای عذابشان] نبود، یقیناً عذاب [الهی] به [سراغ] آنان میآمد و [سرانجام] در حالی که غافلند، ناگهان به سراغشان خواهد آمد.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na wanakuharakisha, ewe Mtume, hawa washirikina wa watu wako uwaletee adhabu kwa kukufanyia shere. Na lau si Mwenyezi Mungu kuwa Amewawekea wakati wa kuadhibiwa wao duniani usiotangulia wala kuchelewa, ingaliwajia wao adhabu pale walipoitaka. Na kwa hakika itawajia ghafula na hali wao hawaitambui wala kuihisi.