آیا ندیدهاند در حالی که مردم پیرامونشان [گرفتارِ قتل و غارت هستند و] مورد دستبرد قرار میگیرند، ما حرم امنی [برای مردم مکه] پدید آوردهایم؟ آیا [باز هم] به [معبودهای] باطل ایمان میآورند و نسبت به نعمت الله ناسپاسی میکنند؟
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Kwani hawakushuhudia makafiri wa Makkah kwamba Mwenyezi Mungu Amewawekea Makkah kuwa ni mahali patakatifu penye amani, watu wake wanapata amani humo ya nafsi zao na mali zao, hali watu walio pambizoni mwake, nje ya eneo takatifu, wananyakuliwa hawana amani? Je, ni ushirikina wanaouamini na ni neema ya Mwenyezi Mungu Aliyowahusu wao nayo, wanayoikanusha, wakawa hawamuabudu Yeye, Peke Yake, bila mwingine?