آنان گفتند: «بیتردید، ما [پس از مرگ] به سوی پروردگارمان بازمیگردیم
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Walisema wachawi kumwambia Fir'awn, «Tuna uhakika kwamba sisi ni wenye kurejea kwa Mwenyezi mungu na kwamba adhabu Yake ni kali zaidi kushinda adhabu yako. Tutasuburi kikwelikweli leo kwa adhabu yako, tupate kuokoka na adhabu ya Mwenyezi Mungu Siku ya Kiyama.