و اگر آنان را به [راه] هدایت دعوت کنید، [سخنانتان را] نمیشنوند؛ و آنان را میبینی که [ظاهراً] به تو نگاه میکنند، در حالی که نمیبینند».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na iwapo mtawaita, enyi washirikina, hao waungu wenu kwenye kulingana sawa na haki hawatasikia mwito wenu. Na utawaona, ewe Mtume, waungu wa hawa washirikina miongoni mwa wenye kuabudu mizimu, wanakuelekea kama wanaokutazama na hali wao hawaoni kwa kuwa wao hawana macho wala busara.