[ای مردم،] از آنچه از جانب پروردگارتان بر شما نازل شده است پیروی کنید و از [دوستان و] کارسازانِ دیگر به جز او پیروی نکنید؛ چه اندک پند میپذیرید!
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Yafuateni, enyi watu, hayo yaliyoteremshwa kutoka kwa Mola wenu miongoni mwa Qur’ani na Sunnah(mafundisho ya Mtume) kwa kufuata maamrisho na kuepuka makatazo Na wala msiwafuate wategemewa badala ya Mwenyezi Mungu, kama mashetani na wasomi wa Kiyahudi na watawa wa Kinaswara. Hakika nyinyi ni mara chache mnapowaidhika na kuzingatia na mkarudi kwenye haki.