ای فرزندان آدم، هنگام رفتن به مسجد [و در هر نمازی] زینت خود را برگیرید [و عورتهایتان را بپوشانید و لباس شایسته بپوشید] و [در زندگی، از خوراکیهای پاکیزه] بخورید و بیاشامید؛ و[لی] اسراف نکنید [که] بیتردید، الله اسرافکاران را دوست ندارد.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Enyi wanadamu! Kuweni, kila mnapotekeleza Swala, katika hali ya pambo linalokubalika kisheria la nguo zinazofinika tupu zenu na muwe katika hali ya usafi, utohara na mfano wake. Na kuleni na kunyweni katika vizuri Alivyowapa Mwenyezi Mungu, wala msikiuke mipaka ya wastani, kwani Mwenyezi Mungu Hawapendi wakiukaji wenye kupitsha kiasi katika vyakula na vinywaji na mengineyo.