اهل اعراف، مردانی [از دوزخیان را] که آنان را از نشانههای [چهرههای]شان میشناسند، صدا میزنند [و] میگویند: «جمعیت [و مالاندوزیِ] شما و آن [همه] گردنكشى [و تکبر] كه مىكردید، سودی به حالتان نداشت».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na watu walioko Al-A’rāf watawaita wanaume, miongoni mwa viongozi wa makafiri waliomo motoni, wanaowajua kwa alama zao fulani zinazowatenganisha wawaambie, «Hayakuwafaa chochote mali mliokuwa mkiyakusanya ulimwenguni wala watu; pia hakikuwafaa kiburi chenu kilichowafanya nyinyi msimuamini Mwenyezi Mungu na msiikubali haki.»