آیا اینها [= بهشتیان] همان کسانی هستند که سوگند یاد میکردید که الله [هرگز] رحمتی به آنان نمیرسانَد؟ [سپس الله میفرماید: ای مؤمنان،] به بهشت وارد شوید [که در آنجا] نه ترسی خواهید داشت و نه اندوهگین میشوید.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Je madhaifu na mafukara hawa, kati ya watu wa Peponi, ndio wale mlioapa huko duniani kwamba Mwenyezi Mungu Hatawakusanya Siku ya Kiyama Awatie kwenye rehema na Hatawaingiza Peponi? Ingieni Peponi, enyi watu wa Al- A'rāf, hakika mumesamehewa; hamna tene kicho cha kupata adhabu ya Mwenyezi Mungu, wala hamtahuzunika juu ya hadhi za duniani zilizowapita.