پس مادهشتر را پِی کردند و از فرمان پروردگارشان سرپیچی نمودند و گفتند: «ای صالح، اگر از پیامبران [الهی] هستی، آنچه از عذاب که به ما وعده میدهی [بر سرمان] بیاور».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Wakamchinja ngamia kwa kutojali onyo la Ṣāliḥ, na wakaingiwa na kiburi kilichowafanya wasifuate amri ya Mola wao na wakasema, kwa njia ya shere na kwa kuona kuwa adhabu iko mbali na wao, «Ewe Ṣāliḥ, tuletee hiyo adhabu ambayo unatuonya nayo, iwapo wewe ni miongoni mwa Mitume wa Mwenyezi Mungu!»