هر آیهای را نسخ کنیم یا [از دل مردم بزداییم و] از یادها ببریم، بهتر از آن یا همانندش را میآوریم. [ای پیامبر،] آیا نمیدانی که الله بر هر چیزی تواناست؟
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Tunaipoibadilisha aya au kuiondoa kutoka nyoyoni na akilini, tunaileta yenye manufaa zaidi kwenu kuliko hiyo au tunaileta iliyo mfano wake katika utekelelezaji na thawabu. Na kila mojawapo ya aya hizo ina hekima yake. Kwani hujui, ewe Nabii, kwamba Mwenyezi Mungu ni Muweza, hakuna kitu kinachomshinda?