اینان همان کسانی هستند که گمراهی را به [بهای] هدایت و عذاب را به [بهای] آمرزش خریدند؛ پس بر [تحمّل] آتش [دوزخ] چه شکیبا هستند!
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Hao wanaosifika na sifa hizi wamechagua upotevu wakaacha uongofu, na wakachagua adhabu ya Mwenyezi Mungu wakaacha msamaha wake. Ni ujasiri ulioje wao wa kuchagua Moto kwa kufanya vitendo vya watu wa Motoni! Anastaajabu Mwenyezi Mungu kwa kujitokeza kwao kulifanya hilo. Basi oneni ajabu, enyi watu, juu ya ujasiri wao na uvumilivu wao kwenye Moto na kukaa kwao humo. Maneno haya yametumika kwa njia ya kuwatweza na kuwachezea.