این کتابی است که هیچ تردیدی در [الهی بودنِ] آن نیست و مایۀ هدایت پرهیزگاران است؛
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Qurani hii ni kitabu kisicho na shaka kuwa kinatoka kwa Mwenyezi Mungu. Haifai kwa mtu yoyote kufanya shaka juu yake kwa uwazi wake. Wananufaika kwayo wenye uchajimungu (taqwā), wenye kujikinga kwa elimu yenye manufaa na amali njema, na wao ndio wanaomuogopa Mwenyezi Mungu na kufuata hukumu Zake.