گفتیم: «همگی از آن [= بهشت] فرود آیید و هر گاه از جانبِ من رهنمودی برایتان آمد، کسانی که از آن [هدایت] پیروی کنند، نه ترسی خواهند داشت و نه اندوهگین میشوند».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Tulisema, “Shukeni kutoka Peponi nyote! Na utawajia, nyinyi na vizazi vyenu vinavyofuatia, ujumbe wenye mambo ya kuwaongoza kwenye haki. Wenye kuufuata huo kwa vitendo, hawatakuwa na hofu kuhusu mustakbala wao wa Akhera, wala hawatakuwa na huzuni juu ya vitu walivyovikosa vya ulimwenguni.