پس گفتیم: «قسمتی از آن [گاو سر بریده شده] را به آن [مقتول] بزنید [تا زنده شود و قاتل خویش را معرفى كند]. الله این گونه مردگان را زنده میکند و نشانههای [آشکار قدرتِ] خویش را به شما نشان میدهد؛ باشد که بیندیشید».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Tukasema, “Mpigeni aliyeuliwa kwa sehemu ya yule ng’ombe aliyechinjwa, Mwenyezi Mungu atamfufua akiwa hai na atawaambia muuaji wake ni nani.” Basi wakampiga kwa ile sehemu ya ng’ombe, Mwenyezi Mungu Akamhuisha na akamtaja muuaji wake. Hivyo ndivyo Anavyohuisha Mwenyezi Mungu wafu Siku ya Kiyama na kuwaonyesha nyinyi, Wana wa Isrāīl, miujiza Yake yenye dalili ya ukamilifu wa uweza wa Mwenyezi Mungu Aliyetukuka, ili mfikiri kwa akili zenu mpate kujiepusha na vitendo vya kumuasi.