[الله به مشرکان میفرماید:] «بیتردید، [معبودانتان] ادعای شما را دروغ شمردند. [اکنون] نه میتوانید [عذاب را از خود] دور کنید و نه [از کسی] یاری بجویید؛ و هر یک از شما که [شرک بورزد و به خود] ستم كند، عذابی بزرگ به وی میچشانیم».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Hapo waambiwe washirikina, «Kwa kweli, wamewakanusha nyinyi, hawa mliowaabudu kwenye madai yenu juu yao. Enyi hawa, nyinyi hamuwezi kuzikinga nafsi zenu na adhabu wala kuziokoa. Na mwenye kumshirikisha Mwenyezi Mungu, akajidhulumu nafsi yake, akamuabudu asiyekuwa Mwenyezi Mungu na akafa katika hali hiyo, mwenyezi Mungu Atamuadhibu adhabu kali.