و هنگامی که به آنان گفته شود: «برای [الله] رحمان سجده کنید»، میگویند: «رحمان کیست؟ آیا [قرار است] بر هر چه تو امر میكنى سجده بریم؟» و [این دعوتِ تو، دوری از حق و] نفرتشان را میافزاید.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na wakiambiwa makafiri, «Msujudieni Al-Raḥmān (Mwingi wa rehema) na muabuduni,» wanasema, «Hatumjui Al-Raḥmān (Mwingi wa rehema). Je, tukisujudie kila unachotuamrisha kukisujudia kwa kutii amri yako?» Basi hilo la kuwaita wao kumsujudia Al-Raḥmān (Mwingi wa rehema) linawaongezea wao kuikimbia imani na kuwa mbali nayo.