[به کافران] بگو: «اگر عبادت و دعایتان نباشد، پروردگارم اعتنایی به شما ندارد [و ارزشی برایتان قائل نیست]. به راستی، شما [دعوت حق را] تکذیب کردید؛ به زودی [کیفرِ این کار،] گریبانگیرتان خواهد شد».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Mwenyezi Mungu Anatoa habari kuwa Yeye hawajali watu wala hashughuliki nao lau si wao kumlingania Yeye ulinganizi wa ibada na ulinganizi wa maombi. Hakika yenu nyinyi, enyi makafiri, mumekanusha, na ukanushaji wenu utapelekea mupate adhabu yenye kuwa na nyinyi kama vile mwenye kudai anavyokuwa na mdaiwa wake, na Atawaangamiza duniani na Akhera.