بىگمان، مردان و زنانى كه انفاق مىكنند و قرضی نیكو به الله مىدهند، ثوابشان چندین برابر میگردد و [در آخرت،] پاداشى فاخر [و نیک] خواهند داشت.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Hakika ya wale wanaume na wanawake wanaotoa sadaka kutokana na mali yao na wakatumia katika njia ya Mwenyezi Mungu matumizi zikiwa radhi nyoyo zao, kwa kutafuata radhi za Mwenyezi Mungu Aliyetukuka, wataongezewa malipo mema ya hayo, na juu ya hayo watapata malipo mengi, nayo ni Pepo.