این دو [گروه مؤمن و کافر،] دشمنان یکدیگرند و دربارۀ پروردگارشان ستیز میکنند. پس کسانی که کفر ورزیدند، برایشان جامههایی از آتش بریدهاند [و] از بالای سرشان [بر آنان] آب جوشان میریزند.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Haya ni mapote mawili ya watu, wametafautiana kuhusu Mola wao: watu wa Imani na watu wa ukafiri, kila mmoja anadai kuwa yeye yuko kwenye usawa. Wale waliokufuru watazungukwa na adhabu yenye sura ya nguo za Moto walizopatiwa wazivae, zitaichoma miili yao na yatamiminwa juu ya vichwa vyao maji yaliyofikia upeo wa ukali,