و [نیز] اهل مَدیَن [شعیب را دروغگو میدانستند] و موسی [نیز توسط فرعونیان] دروغگو خوانده شد. به کافران مهلت دادم؛ آنگاه آنان را [به عذاب] فروگرفتم. پس [بنگر که نتیجۀ] انکار [آیات و مجازات] من چگونه بود.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
na watu wa Madyan waliomkanusha Shu'ayb na pia Fir'awn na watu wake walimkanusha Mūsā. Sikuwaharakishia ummah hao mateso, bali niliwapa muda kisha kila mmoja wa hao niliupatiliza kwa adhabu. Ilikuwaje vile nilivyowakataza wao ukafiri wao na ukanushaji wao na nilivyowabadilishia neema waliokuwa nayo kwa adhabu na maangamivu?