و چه بسیار [اهالی] شهرهایی که به آنان مهلت دادم، در حالی که ستمکار بودند [اما باز هم سرپیچی کردند]؛ پس آنان را [به عذاب] فروگرفتم و بازگشت [همه] به سوی من است.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Kuna miji mingi ilikuwa kwenye udhalimu, kwa ukakamavu wa watu wake juu ya ukafiri, nikawapa muda , na sikuwaharakishia adhabu na kwa hivyo wakaghurika, kisha nikawachukuwa kwa kuwaadhibu katika hii dunia, na ni kwangu ndio marejeo yao baada ya kuangamia kwao nitawapa adhabu wanayostahili