این [یاریِ مظلومان] از آن روست که الله [بر هر کاری تواناست؛ چنان که] شب را در روز، و روز را در شب داخل میکند؛ [و از یکی میکاهد و بر دیگری میافزاید]؛ و بیتردید، الله شنوای بیناست.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Huyo Aliyewaekea hukumu hizo za uadilifu Ndiye wa kweli, na Yeye Ndiye Muweza waAlitakalo. Na katika uweza Wake ni kwamba Yeye Anaziingiza saa za usiku zipunguazo kwenye saa za mchana, na anaziingiza saa za mchana zipunguazo kwenye saa za usiku na kwamba Mwenyezi Mungu ni Msikizi wa kila sauti, ni Muoni wa kila kitendo, hakifichiki kitu chochote Kwake.