اگر آنها [= یهود] [از وطنشان] اخراج شوند، اینان [= منافقان] همراه آنان بیرون نمیروند؛ و اگر با آنها جنگ شود، یاریشان نخواهند کرد؛ و اگر [هم] یاریشان کنند، قطعاً پشت [به میدان] کرده و فرار میکنند، و دیگر یاری نمیشوند.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Lau Mayahudi watatolewa Madina, wanafiki hawatatoka pamoja na wao, na lau watapigwa vita hawatapigana pamoja na wao kama walivyoahidi. Na lau watapigana pamoja na wao wangalipa mgongo hali ya kukimbia kwa kushindwa, kisha Mwenyezi Mungu Hatawanusuru, bali Atawaacha bila kuwasaidia na Atawadhalilisha.