[لوط] گفت: «اگر مىخواهید [كارى حلال] انجام دهید، اینها دختران [قوم] من هستند؛ [با آنها ازدواج كنید]».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Lūṭ akasema kuwaambia, «Hawa wanawake wenu ni mabinti zangu, waoeni iwapo mnataka kumaliza hamu zenu, wala msiyafanye mliyokatazwa na Mwenyezi Mungu ya kuwajia wanaume.» Amewaita hao wanawake kuwa ni mabinti zake, kwa kuwa Nabii wa ummah ana cheo cha baba kwao.