[و در دل میگویند:] «ما فقط به خاطر الله به شما غذا میدهیم؛ نه از شما پاداشی میخواهیم و نه سپاسی.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
na huku wanasema katika nafsi zao, «Hakika sisi tunawafanyia wema kwa kutafuta radhi za Mwenyezi Mungu na kutaka malipo yake. Hatutaki badala wala hatukusudii kushukuriwa wala kusifiwa na nyinyi.