[ای پیامبر، به مشرکان] بگو: «اگر شما مالک گنجینههای [بخشش و] رحمتِ پروردگارم بودید، [باز هم] از بیم خرج کردن [و تنگدستی] از انفاق خوداری میکردید؛ و انسان همواره بخیل [و تنگنظر] است».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Sema, ewe Mtume, kuwaambia hawa washirikina, «Lau nyinyi mnamiliki hazina za rehema ya Mola wangu ambazo hazimaliziki wala hazitoeki, basi mungalizifanyia ubahili msitoe katika hizo kuwapa wengine kwa kuchelea zisimalizike mkawa mafukara.» Na ni katika tabia ya binadamu kuwa yeye ni mgumu wa kile kilicho mkononi mwake, isipokuwa yule aliyehifadhiwa na Mwenyezi Mungu.