و بیتردید، ما در این قرآن [احکام و اندرزها را با شیوههای روشن و] گوناگون بیان كردیم تا [مردم] پند بگیرند؛ و[لى این سخنان،] جز دوری [از حق] بر آنان نمىافزاید.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Hakika tumeelza katika hii Qur’ani aina mbalimbali za hukumu, mifano na mawaidha, ili watu wapate kuwaidhika na kuzingatia yanayowafaa wayachukue na yenye kuwadhuru wayaache. Na haya maelezo na ufafanuzi hayawaongezei madhalimu isipokuwa kuwa mbali na haki na kughafilika kutia mambo akilini na kuzingatia.