روزى كه [الله] شما را [به صحرای محشر] فرامىخوانَد و شما با سپاس و ستایش اجابتش مىکنید و مىپندارید كه جز اندكى [در دنیا] به سر نبردهاید».
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Siku Atakapowaita Muumba wenu mtoke kwenye makaburi yenu na mkaitika amri ya Mwenyezi Munguna na mkaiyandama, na shukrani ni Zake kwa kila namna, na mkadhani, kwa kituko cha Siku ya Kiyama na kwa kipindi kirefu cha kukaa kwenu Akhera, kwamba nyinyi hamkukaa duniani isipokuwa muda mchache.