[ای شیطان،] تو هرگز تسلطی بر بندگان من نخواهی داشت»؛ و [ای پیامبر،] همین بس که پروردگارت [کارگزار و] نگهبانِ آنان [= مؤمنان] باشد.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
«Hakika waja wangu Waumini waliyotakaswa ambao walinitii, wewe huna uwezo wa kuwapoteza.» Na inatosha kuwa Mola wako , ewe Mtume, kuwa Ndiye Mwenye kuwalinda na kuwahifadhi Waumini kutokana na vitimbi vya Shetani na udanganyifu wake.