[یاد کن از] روزی که هر گروهی را با پیشوایشان فرامیخوانیم؛ آنگاه کسانی که نامه[ی اعمال]شان به [دست] راستشان داده میشود، اینان نامۀ خود را [با شادمانی] میخوانند و [کوچکترین] ستمی [حتی] به اندازۀ رشتۀ میان هستۀ خرما نمیبینند.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na kumbuka, ewe Mtume, Siku ya Kufufuliwa, kwa njia ya kutoa bishara na kuogopesha, pindi Mwenyezi Mungu, Aliyeshinda na ktukuka, Atakapoliita kila kundi la watu pamoja na kiongozi wao ambaye walikuwa wakimfuata ulimwenguni. Basi aliyekuwa mwema kati yao , na akapewa kitabu chake kwa mkono wake wa kulia, hawa watasoma kitabu cha mema yao wakiwa katika hali ya kufurahika na kuterema, na kamwe hawatapunguziwa chochote katika malipo ya matendo yao mazuri, hata kama ni kadiri ya uzi unaokuwa kwenye mpasuko wa koko ya tende.